6. Neno la Mwenyezi-Mungu ni safi,safi kama fedha iliyosafishwa katika tanuri,naam, kama fedha iliyosafishwa mara saba.
7. Utulinde, ee Mwenyezi-Mungu,utukinge daima na kizazi hiki kiovu.
8. Waovu wanazunguka kila mahali;upotovu unatukuzwa kati ya watu.