Zaburi 10:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Ee Mwenyezi-Mungu, mbona wasimama mbali?Kwa nini wajificha wakati tumo taabuni?

2. Kwa kiburi waovu wanawatesa maskini;njama zao ziwanase wao wenyewe.

Zaburi 10