Yoshua 9:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Waisraeli wakafunga safari, baada ya siku ya tatu wakafika katika miji yao. Miji hiyo ilikuwa Gibeoni, Kefira, Beerothi na Kiriath-yearimu.

Yoshua 9

Yoshua 9:16-20