Yoshua 19:38-45 Biblia Habari Njema (BHN)

38. Yironi, Migdaleli, Horemu, Beth-anathi na Beth-shemeshi. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na tisa pamoja na vijiji vyake.

39. Hizo ndizo sehemu zilizopewa koo za kabila la Naftali; miji hiyo pamoja na vijiji vyake.

40. Kura ya saba ilizipata koo za kabila la Dani.

41. Eneo la nchi yao lilikuwa na miji ya Sora, Eshtaoli, Ir-shemeshi

42. Shaalabini, Aiyaloni, Yithla,

43. Eloni, Timna, Ekroni

44. Elteke, Gibethoni, Baalathi,

45. Yehudi, Bene-beraki, Gath-rimoni,

Yoshua 19