Yoshua 1:10-12 Biblia Habari Njema (BHN)

10. Kisha Yoshua akawaamuru viongozi wa watu,

11. “Piteni katika kambi na kuwaamrisha watu watayarishe chakula, kwa kuwa baada ya siku tatu mtavuka mto Yordani, kwenda kuimiliki nchi ambayo Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu anawapeni iwe mali yenu.”

12. Yoshua akawaambia watu wa kabila la Reubeni na Gadi na nusu ya kabila la Manase:

Yoshua 1