Yohane 7:23-25 Biblia Habari Njema (BHN)

23. Ikiwa basi, mtu hutahiriwa hata siku ya Sabato kusudi sheria isivunjwe, mbona mnanikasirikia kwa sababu nimemfanya mtu kuwa mzima kabisa siku ya Sabato?

24. Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki.”

25. Baadhi ya watu wa Yerusalemu walisema, “Je, yule mtu wanayemtafuta wamuue si huyu?

Yohane 7