Yohane 15:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. “Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.

2. Kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda yeye huliondoa, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi.

Yohane 15