Yohane 1:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Hapo mwanzo, Neno alikuwako; naye alikuwa na Mungu, naye alikuwa Mungu.

2. Tangu mwanzo Neno alikuwa na Mungu.

3. Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa; hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye.

4. Yeye alikuwa chanzo cha uhai na uhai huo ulikuwa mwanga wa watu.

Yohane 1