Yobu 9:33-35 Biblia Habari Njema (BHN)

33. Hakuna msuluhishi kati yetu,ambaye angeamua kati yetu sisi wawili.

34. Mungu na aniondolee hiyo fimbo ya kunipiga,na kitisho chake kisinitie hofu!

35. Hapo ningeweza kusema bila kumwogopa;kwani sivyo nilivyo nafsini mwangu.

Yobu 9