Yobu 9:27-29 Biblia Habari Njema (BHN)

27. Nasema: ‘Nitasahau lalamiko langu,niondoe uso wangu wa huzuni na kuwa na furaha!’

28. Lakini nayaogopa maumivu yangu yote,kwani najua Mungu hataniona kuwa sina hatia.

29. Ikiwa nitahukumiwa kuwa na hatia,ya nini basi nijisumbue bure?

Yobu 9