Yobu 8:13-16 Biblia Habari Njema (BHN)

13. Ndivyo walivyo wote wanaomsahau Mungu.Tumaini la wasiomwamini Mungu litapotea.

14. Tegemeo lao huvunjikavunjika,tumaini lao ni utando wa buibui.

15. Wanaegemea nyumba yao lakini haitasimama,huishikilia lakini haidumu.

16. Jua litokapo yeye hustawi;hueneza matawi yake bustanini mwake.

Yobu 8