11. “Kwa hiyo sitakizuia kinywa changu kuongea;nitasema kwa msongo wa roho yangu,nitalalamika kwa uchungu wa nafsi yangu.
12. Je, mimi ni bahari au dude la baharinihata uniwekee mlinzi?
13. Nikisema, ‘Kitanda kitanipumzisha,malazi yangu yatanipunguzia malalamiko yangu,’
14. wewe waja kunitia hofu kwa ndoto,wanitisha kwa kuniletea maono;