Yobu 42:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Elifazi Mtemani, Bildadi, Mshua na Sofari Mnaamathi, wakafanya kama Mwenyezi-Mungu alivyowaambia. Mwenyezi-Mungu akaipokea sala ya Yobu.

Yobu 42

Yobu 42:7-10