Yobu 41:19-21 Biblia Habari Njema (BHN)

19. Kwake chuma ni laini kama unyasi,na shaba kama mti uliooza.

20. Mshale hauwezi kulifanya likimbie;akitupiwa mawe ya teo huyaona kama makapi.

21. Kwake, rungu ni kama kipande cha bua,hucheka likitupiwa fumo kwa wingi.

Yobu 41