Yobu 40:30-32 Biblia Habari Njema (BHN)

30. Wadhani wavuvi watashindania bei yake?Je, wafanyabiashara watathubutu kulikata na kugawana?

31. Je, waweza kuichoma ngozi yake kwa mikuki,au kichwa chake kwa mfumo wa kuvua samaki?

32. Jaribu tu kuligusa, uone cha mtema kuni;Kamwe hutarudia tena kufanya hivyo!

Yobu 40