Yobu 38:39-41 Biblia Habari Njema (BHN)

39. “Je, waweza kumwindia simba mawindo yakeau kuishibisha hamu ya wana simba;

40. wanapojificha mapangoni mwao,au kulala mafichoni wakiotea?

41. Ni nani awapaye kunguru chakula chao,makinda yao yanaponililia mimi Mungu,na kurukaruka huku na huko kwa njaa?

Yobu 38