39. “Je, waweza kumwindia simba mawindo yakeau kuishibisha hamu ya wana simba;
40. wanapojificha mapangoni mwao,au kulala mafichoni wakiotea?
41. Ni nani awapaye kunguru chakula chao,makinda yao yanaponililia mimi Mungu,na kurukaruka huku na huko kwa njaa?