Yobu 37:17-20 Biblia Habari Njema (BHN)

17. Wewe wajiona umevaa nguo za joto sana,wakati upepo wa kusi unaivamia nchi.

18. Je, waweza, kuzitandaza mbingu kama yeyezikawa ngumu kama kioo cha shaba?

19. Tufundishe tutakachomwambia Mungu;maana hoja zetu si wazi, tumo gizani.

20. Je, nani anathubutu kumwambia: Nataka kuongea?Nani aseme apate balaa?

Yobu 37