17. Wewe wajiona umevaa nguo za joto sana,wakati upepo wa kusi unaivamia nchi.
18. Je, waweza, kuzitandaza mbingu kama yeyezikawa ngumu kama kioo cha shaba?
19. Tufundishe tutakachomwambia Mungu;maana hoja zetu si wazi, tumo gizani.
20. Je, nani anathubutu kumwambia: Nataka kuongea?Nani aseme apate balaa?