Yobu 36:16-19 Biblia Habari Njema (BHN)

16. Mungu alikuvuta akakutoa taabuni,akakuweka mahali pa wasaa pasipo shida,na mezani pako akakuandalia vinono.

17. “Lakini sasa umehukumiwa kama mwovu,hukumu ya haki imekukumba.

18. Jihadhari ghadhabu isije ikakufanya ukadhihaki,au ukubwa wa mali za kukukomboa ukakupotosha.

19. Je, kilio chako kitafaa kukutoa taabuni,au nguvu zako zote zitakusaidia?

Yobu 36