Yobu 36:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kisha Elihu akaendelea kusema:

2. “Nivumilie kidogo, nami nitakuonesha kitu;maana bado ninacho cha kusema kwa niaba ya Mungu.

3. Nitaleta hekima yangu kutoka mbali sana,na kuonesha kwamba Muumba wangu ni mwadilifu.

Yobu 36