Yobu 32:20-22 Biblia Habari Njema (BHN)

20. Ni lazima niseme ili nipate nafuu;yanipasa kufungua kinywa changu na kujibu.

21. Sitampendelea mtu yeyotewala kutumia maneno ya kubembeleza mtu.

22. Maana mimi sijui kubembeleza mtu,la sivyo, Muumba wangu angeniangamiza.

Yobu 32