Yobu 32:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Elihu, mwana wa Barakeli, wa kabila la Buzi wa ukoo wa Rama, akakasirika. Alimkasirikia Yobu kwa sababu Yobu alijiona yeye mwadilifu na sio Mungu.

Yobu 32

Yobu 32:1-8