Yobu 3:12-14 Biblia Habari Njema (BHN)

12. Kwa nini mama yangu alinizaa?Kwa nini nikapata kunyonya?

13. Maana ningekuwa nimezikwa, kimya;ningekuwa nimelazwa na kupumzika,

14. pamoja na wafalme na watawala wa dunia,waliojijengea upya magofu yao;

Yobu 3