10. Sauti za waheshimiwa zilinyamazishwa,na vinywa vyao vikafumbwa.
11. Kila aliyesikia habari zangu alinitakia herina aliponiona, alikubali habari hizo kuwa kweli:
12. Nilimwokoa maskini aliyenililia msaada,kadhalika na yatima asiyekuwa na wa kumsaidia.