Yobu 29:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kisha Yobu akaendelea na hoja yake, akasema:

2. “Laiti ningekuwa kama zamani,wakati ule ambapo Mungu alinichunga;

3. wakati taa yake iliponiangazia kichwani,na kwa mwanga wake nikatembea gizani.

4. Wakati huo nilifikia ukamilifu wa maisha,wakati urafiki wa Mungu ulikaa nyumbani kwangu.

Yobu 29