Yobu 27:12-14 Biblia Habari Njema (BHN)

12. Lakini nyinyi mnajua jambo hilo vizuri sana!Mbona, basi mnaongea upuuzi?

13. “Hiki ndicho Mungu alichomwekea mtu mwovu,alichopangiwa mdhalimu kupata ni hiki:

14. Watoto wake hata wawe wengi watauawa kwa upanga;wazawa wake hawatakuwa na chakula cha kutosha.

Yobu 27