12. Lakini nyinyi mnajua jambo hilo vizuri sana!Mbona, basi mnaongea upuuzi?
13. “Hiki ndicho Mungu alichomwekea mtu mwovu,alichopangiwa mdhalimu kupata ni hiki:
14. Watoto wake hata wawe wengi watauawa kwa upanga;wazawa wake hawatakuwa na chakula cha kutosha.