Yobu 27:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Yobu akaendelea kutoa hoja yake, akasema:

2. “Naapa kwa Mungu aliye hai,aliyeniondolea haki yangu,Mungu Mwenye Nguvu aliyeifanya nafsi yangu iwe na uchungu!

3. Naapa kuwa kadiri ninavyoweza kupumua,roho ya Mungu ikiwa bado ndani yangu;

4. midomo yangu kamwe haitatamka uongo,wala ulimi wangu kusema udanganyifu.

Yobu 27