Yobu 25:4-6 Biblia Habari Njema (BHN)

4. Mtu awezaje basi, kuwa mwadilifu mbele ya Mungu?Binadamu tu awezaje kujidai kuwa safi?

5. Kwake Mungu, hata mwezi haungai vya kutosha;nyota nazo si safi mbele yake;

6. sembuse mtu ambaye ni mdudu,binadamu ambaye ni buu tu!”

Yobu 25