Yobu 23:1-4 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kisha Yobu akajibu:

2. “Leo pia lalamiko langu ni chungu.Napata maumivu na kusononeka.

3. Laiti ningejua mahali nitakapompata Mungu!Ningeweza kwenda hata karibu naye.

4. Ningeleta kesi yangu mbele yake,na kumtolea hoja yangu.

Yobu 23