19. Nina hakika ninaye shahidi wangu mbinguni,mwenye kunitetea yuko huko juu.
20. Rafiki zangu wanidharau;nabubujika machozi kumwomba Mungu.
21. Laiti mtu angenitetea mbele ya Mungu,kama ifanyikavyo duniani kati za watu wawili.
22. Naam, miaka yangu ni michache,nami nitakwenda huko ambako sitarudi.