Yobu 15:12-15 Biblia Habari Njema (BHN)

12. Mbona moyo unakusukuma kukasirikana kutoa macho makali,

13. hata kumwasi Munguna kusema maneno mabaya kama hayo?

14. Mtu ni nini hata aweze kuwa mwadilifu?au yule aliyezaliwa na mwanamke hata aweze kuwa mwema?

15. Ikiwa Mungu hawaamini hata watakatifu wake,nazo mbingu si safi mbele yake,

Yobu 15