Yobu 15:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kisha Elifazi, Mtemani, akajibu:

2. “Je, mtu wa hekima hujibu kwa maneno ya upuuzi?Je, mtu huyo amejaa maneno matupu?

3. Je, mwenye hekima hujitetea kwa maneno yasiyofaa,au kwa maneno yasiyo na maana?

Yobu 15