Yeremia 52:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Nebuzaradani kapteni wa walinzi wa mfalme, aliwachukua uhamishoni watu waliokuwa wamebakia mjini na wale waliokuwa wamejisalimisha kwa mfalme wa Babuloni pamoja na mafundi.

Yeremia 52

Yeremia 52:6-17