Yeremia 50:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Watauliza njia ya kwenda Siyoni, huku nyuso zao zimeelekea huko, wakisema, ‘Njoni!’ Nao watajiunga na Mwenyezi-Mungu katika agano la milele ambalo kamwe halitasahauliwa.

Yeremia 50

Yeremia 50:1-12