Yeremia 48:36 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kwa hiyo, moyo wangu unaomboleza juu ya watu wa Moabu na watu wa Kir-heresi, kama mpiga zumari mazishini; maana hata mali yote waliyojipatia imeangamia.

Yeremia 48

Yeremia 48:29-42