Yeremia 48:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Furaha na shangwe zimeondolewakutoka nchi ya Moabu yenye rutuba.Nimeikomesha divai kutoka mashinikizohakuna mtu anayekamua zabibu kwa shangwe;kelele zinazosikika si za shangwe.

Yeremia 48

Yeremia 48:31-42