Yeremia 44:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Imekuwa hivyo kwa sababu ya uovu walioufanya, wakanikasirisha kwa kuifukizia ubani na kuitumikia miungu mingine ambayo wao wenyewe hawakuifahamu, wala nyinyi, wala wazee wenu.

Yeremia 44

Yeremia 44:1-11