Yeremia 41:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini palikuwa na watu kumi katika kundi hilo waliomwambia Ishmaeli: “Tafadhali usituue, maana tuna akiba kubwa ya ngano, shayiri, mafuta na asali ambayo tumeificha mashambani.” Basi hao akawaacha hai.

Yeremia 41

Yeremia 41:6-18