Yeremia 41:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Ishmaeli mwana wa Nethania, alitoka nje ya mji kuwalaki watu hao huku analia. Alipokutana nao, akawaambia, “Karibuni nyumbani kwa Gedalia mwana wa Ahikamu.”

Yeremia 41

Yeremia 41:1-15