Yeremia 41:18 Biblia Habari Njema (BHN)

walikuwa wanawaogopa Wakaldayo tangu wakati Ishmaeli mwana wa Nethania, alipomuua Gedalia mwana wa Ahikamu ambaye mfalme wa Babuloni alikuwa amemteua kuwa mtawala wa nchi.

Yeremia 41

Yeremia 41:10-18