1. Mwenyezi-Mungu asema hivi:“Ukitaka kurudi ee Israeli, nirudie mimi.Ukiviondoa vitu vya kuchukiza mbele yangu,usipotangatanga huko na huko,
2. ukiapa kwa ukweli, unyofu na uadilifu,kwa kusema, ‘Kama Mwenyezi-Mungu aishivyo’,ndipo mataifa yatakapopata baraka kwangu,na kutukuka kwa sababu yangu.”