Yeremia 39:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye Sedekia, mfalme wa Yuda na askari wake wote walipowaona, walitoroka. Walitoka nje ya mji usiku, wakipitia katika bustani ya mfalme, kwenye lango katikati ya kuta mbili, wakaenda upande wa Araba.

Yeremia 39

Yeremia 39:1-13