Yeremia 39:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnamo mwezi wa tisa wa mwaka wa tisa wa utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda, Nebukadneza mfalme wa Babuloni alifika na jeshi lake lote kuushambulia mji wa Yerusalemu, akauzingira.

Yeremia 39

Yeremia 39:1-6