Yeremia 38:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Ebedmeleki, towashi Mwethiopia aliyekuwa akifanya kazi katika ikulu, alipata habari kwamba walikuwa wamemtumbukiza Yeremia kisimani. Wakati huo mfalme alikuwa anabarizi penye lango la Benyamini.

Yeremia 38

Yeremia 38:1-13