Yeremia 38:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini usipojitoa mwenyewe na kujitia mikononi mwa maofisa wa mfalme wa Babuloni, basi, mji huu utatekwa na Wakaldayo nao watauteketeza kwa moto, nawe hutaweza kujiepusha mikononi mwao.”

Yeremia 38

Yeremia 38:16-25