Yeremia 37:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Alipokuwa katika lango la Benyamini, mlinzi mmoja aitwaye Iriya mwana wa Shelemia, mwana wa Hanania, alimkamata Yeremia na kumwambia, “Wewe unatoroka uende kujiunga na Wakaldayo!”

Yeremia 37

Yeremia 37:12-21