Yeremia 36:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Labda maombi yao yatamfikia Mwenyezi-Mungu na kwamba kila mmoja wao ataacha mwenendo wake mwovu kwa maana Mwenyezi-Mungu ametamka adhabu dhidi ya watu hawa kwa hasira na ghadhabu kali.”

Yeremia 36

Yeremia 36:6-8