Yeremia 34:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Nawe hutatoroka mikononi mwake, bali kwa hakika utatekwa na kupelekwa kwake; utaonana na mfalme wa Babuloni macho kwa macho, na kuongea naye ana kwa ana; kisha, utakwenda Babuloni.

Yeremia 34

Yeremia 34:2-11