Yeremia 34:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Mimi Mwenyezi-Mungu nasema: Nitawaamuru nao wataurudia mji huu. Wataushambulia, watauteka na kuuteketeza kwa moto. Nitaifanya miji ya Yuda kuwa ukiwa bila wakazi.”

Yeremia 34

Yeremia 34:21-22