Yeremia 31:38 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu asema: “Siku zaja ambapo mji huu wa Yerusalemu utajengwa upya kwa ajili ya Mwenyezi-Mungu, kutoka mnara wa Hananeli hadi Lango la Pembeni.

Yeremia 31

Yeremia 31:29-40