Yeremia 27:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini watu wa taifa lolote litakalomtii mfalme wa Babuloni na kumtumikia, nitawaacha wakae nchini mwao, wailime ardhi yao na kuishi humo. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Yeremia 27

Yeremia 27:7-17